KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 18, 2015

IMANI MAPAMBANO AJIFUA KUMKABILI MOHAMED KIBWANA FEB 22 TANDIKA MAGURUWE

Bondia Imani Daudi Mapambano kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika club ya Super D iliyopo Shile ya Uhuru Dar es salaam Mapambano anajiandaa na mpambano wake na Mohamed Kibwana utakaofanyika Feb 22 katika ukumbi wa Musoma bar uliopo Tandika Maguruwe Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Imani Daudi Mapambano kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika club ya Super D iliyopo Shile ya Uhuru Dar es salaam Mapambano anajiandaa na mpambano wake na Mohamed Kibwana utakaofanyika Feb 22 katika ukumbi wa Musoma bar uliopo Tandika Maguruwe 

  Imani Daud Mapambano akiwa na Ibrahim

No comments:

Post a Comment