KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 18, 2015

MPYA! MTOTO ALBINO AKUTWA AMEUAWA KIKATILI

10
Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Joseph Konyo pichani.(Picha na Maktaba)
Mwili wa mtoto wa mwaka mmoja mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati aliyeporwa mikononi mwa mama yake juzi Mkoani Geita, umekutwa jana jioni ukiwa umekatwa miguu na mikono yote na kufukiwa ardhini kwenye hifadhi ya msitu wa Biharamulo, Wilayani Chato.
Imethibitishwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.

No comments:

Post a Comment