Kaimu
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Cecile Tiano akizungumza katika
mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu mipango ya
kampuni hiyo kwa mwaka 2015 ambapo imepanga kuwekeza sh. bilioni 221
katika mtandao wake kwa mwaka 2015. Kulia ni Meneja Mawasiliano wa
Tigo, John Wanyancha.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.


No comments:
Post a Comment