KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 19, 2015

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO KUWEKEZA SH.BILIONI 221 KATIKA MTANDAO WAKE 2015

 Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Cecile Tiano akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu  mipango ya kampuni hiyo kwa mwaka 2015 ambapo imepanga kuwekeza sh. bilioni 221 katika mtandao wake kwa mwaka 2015. Kulia ni Meneja  Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.
 Meneja  Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

No comments:

Post a Comment