Afisa mtendaji mkuu waTaasisi ya
Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) Prof.Joseph
Semboja, (Kulia) akimkaribisha Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mh.
Balozi Seif Ali Iddi, (kushoto) kufungua rasmi Mkutano wa kikanda
uliokutanisha viongozi na watunga sera kutoka nchi za Afrika mashariki ,
kuzungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya
baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katikati ni mkuu wa mkoa wa
Dar es Salaam, Said Meck Sadick. Mkutano huo wa siku mbili umefanyika
katika hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro Hotel ya jijini Dar es Salaam.
Afisa mtendaji mkuu wa Taasisi ya
Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) Prof.
Joseph Semboja, (Kulia) akimkaribisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
, Mh, Balozi Seif Ali Iddi, wa tatu toka kulia, kufungua rasmi mkutano
wa kikanda uliokutanisha Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika
mashariki , uliozungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia
hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, Kushoto ni mkuu wa
mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick, na wa Pili kulia ni Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu , tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa
Ghasia , mkutano huo wa siku mbili umefanyika leo katika hotel ya Hyatt
Regency Kilimanjaro ya jijini Dar es Salaam.




No comments:
Post a Comment