KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 15, 2015

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR AREJEA

1
Makamu wa Kwanza wa Rais  wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akishuka ndege katika uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume  baada ya kumaliza ziara ya Kiserikali nchi Qatar.
2
Makamu wa Kwanza wa Rais wa  Zanzibar Maalim  Seif Sharif Hamad akivishwa shada la maua  alipowasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume  akitokea  nchini Qatar.
3
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akisalimiana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alipowasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akitokea nchini Qatar, wa kwanza (kushoto) Waziri wa Nchi katika Ofisi yake  Fatma Abdulhabib Ferej. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment