KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 15, 2015

KAMPUNI YA OFF GRID ELETRIC KUFUNGA UMEME WA SOLA NYUMBA MILIONI MOJA NCHINI

 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Lutengano Mwakahesya (PhD) (kushoto), pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Off Grid Electric Ltd, wakionesha seti ya mfumo wa vifaa vya umeme wa sola ambavyo vitatumika katika mpango wa kutumia umeme wa sola kwa nyumba milioni 1 wakati wakiwaonesha waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi.
  Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Lutengano Mwakahesya (PhD) (kulia), pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Off Grid Electric Ltd, Erica Mackey wakiteta jambo wakati wa mkutan huo na waandishi wa habari.
 Meneja wa Miradi Maalumu wa Kampuni hiyo, James Sawabini (kulia), akiandaa vifaa hivyo kabla wakati vikioneshwa kwa waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment