Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya
Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar. Ali Khalid Mirza akiwasilisha
Hotuba yake kwa mgeni rasmi Balozi wa Finland nchini Tanzania Bi Sinnika
Antilla (Kulia) katika Uzinduzi wa Mfumo wa Mtandao wa Upatikanaji
Taarifa za Ardhi Zanzibar unaojulikana kama (Zanzibar Land Information
Service) (ZALIS) uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Ardhi iliyoko
Forodhani Mjini Zanzibar.
Kulia ni mgeni rasmi wa
Uzinduzi huo Balozi wa Finland nchini Tanzania Bi Sinnika Antilla
akiwasilisha hotuba yake kwa katibu mkuu wa Wizara ya Ardhi, Makaazi,
Maji na Nishati (Kushoto) wakati wa uzinduzi huo.
Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo
Balozi Antilla akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mfumo wa
Mtandao wa Upatikanaji Taarifa za Ardhi Zanzibar.





No comments:
Post a Comment