KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 19, 2015

MFUMO WA MTANDAO WA UPATIKANAJI TAARIFA ZA ARDHI ZANZIBAR WAZINDULIWA

1
Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar. Ali Khalid Mirza akiwasilisha Hotuba yake kwa mgeni rasmi Balozi wa Finland nchini Tanzania Bi Sinnika Antilla (Kulia) katika Uzinduzi wa Mfumo wa Mtandao wa Upatikanaji Taarifa za Ardhi Zanzibar unaojulikana kama (Zanzibar Land Information Service) (ZALIS) uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Ardhi iliyoko Forodhani Mjini Zanzibar.
2
Kulia ni mgeni rasmi wa Uzinduzi huo Balozi wa Finland nchini Tanzania Bi Sinnika Antilla akiwasilisha hotuba yake kwa katibu mkuu wa Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati (Kushoto) wakati wa uzinduzi huo.
3
Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo Balozi Antilla akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mfumo wa Mtandao wa Upatikanaji Taarifa za Ardhi Zanzibar.

No comments:

Post a Comment