![]() |
| Mkuu
wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga (watatu kutoka kulia kabla ya
mabadiliko) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Wizara ya
Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake leo.
Kutoka kulia ni Afisa Utamaduni na Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu Bw. Mbogo, Afisa Vijana kutoka Wizara ya vijana Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa. |





No comments:
Post a Comment