Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Cuba Nchini Tanzania Jorge Luis
Lopez Tormo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akifuatana na Mgeni wake Balozi wa Jamhuri ya Cuba Nchini Tanzania
Jorge Luis Lopez Tormo baada ya mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar.[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment