KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 2, 2015

STRAUS KAHN AHUSISHWA NA UKAHABA


Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani IMF,Dominique Strauss Kahn ameshtakiwa nchini Ufaransa na mashtaka ya usaidizi wa kuwanunua wanawake ili kushiriki katika sherehe za ngono.
Bwana Straus Kahn ambaye alitabiriwa kushinda uchaguzi wa urais nchini Ufaransa alilazimika kukata harakati zake za kisiasa baada ya kudaiwa kum'baka msichana mmoja msaidizi.

Ameshtakiwa kwa kuwa katikati ya mtandao wa ukahaba mjini Paris,Brussels na Washington.
Bwana Straus-Kahn amekana kujua kwamba wanawake katika sherehe hiyo walilipwa.
Straus Kahn na mwanamke msaidizi ambaye alidai kunyanyaswa kijinsia na KahnMwandishi wa BBC mjini Paris amesema kuwa kesi hiyo ni jaribio la kubadilisha mitazamo ya kimaadili nchini Ufaransa.

No comments:

Post a Comment