Mkuu wa Mkoa wa Tabora (katikati) Bw. Rudovick Mwananzila akipongezana na Katibu Tawala wa Mkoa huo baada ya kupokea dawa, Vifaa tiba pamoja na mashuka kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya |
Mjumbe wa Bodi ya NHIF, Bw. Charles Kajege akitoa ufafanuzi wa taratibu za huduma kwa wanachama wa Mfuko huo muda mfupi baada ya kuzinduliwa kwa zoezi la madaktari bingwa. |
No comments:
Post a Comment