Mgeni rasmi katika mashindano ya safari lager nyama choma, Katibu tawala wa Wilaya ya Mbeya, Quip Mbeyela, akizungumza na wakazi wa Jiji la Mbeya kabla ya kukabidhi zawadi kwa washindi. |
Mgeni rasmi akiwa meza kuu pamoja na uongozi wa TBL.Jaji Mkuu akitaja majina ya washindi |
Mgeni rasmi pamoja na watumishi wa TBL wakijiandaa kutoa zawadi. |
Mwakilishi wa mshindi wa kwanza ambaye ni Tumain Bar akionesha kombe juu. |
No comments:
Post a Comment