KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 11, 2015

MATUKIO YA MAZISHI YA BERNARD RWEBANGIRA ISHENGOMA

Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa shilingi 600,000 kwa kaka mkubwa wa marehemu mwanahabari Bernard R. Ishengoma ambaye ni mwanachama wa TBN, uliofanyika Mbezi Tangi Bovu jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa shilingi 600,000 kwa kaka mkubwa wa marehemu mwanahabari Bernard R. Ishengoma ambaye ni mwanachama wa TBN, uliofanyika Mbezi Tangi Bovu jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa viongozi wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Muhidin Issa Michuzi akitoa salam za mwisho kwa mwili wa marehemu Bernard Rwebangira. Marehemu Bernard pia ni mwanachama wa TBN.
Mmoja wa viongozi wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Muhidin Issa Michuzi akitoa salam za mwisho kwa mwili wa marehemu Bernard Rwebangira. Marehemu Bernard pia ni mwanachama wa TBN.
Baadhi ya viongozi wa Tanzania Bloggers Network (TBN) wakitoa salam za mwisho kwa mwili wa marehemu Bernard Rwebangira. Marehemu Bernard pia ni mwanachama wa TBN.
Baadhi ya viongozi wa Tanzania Bloggers Network (TBN) wakitoa salam za mwisho kwa mwili wa marehemu Bernard Rwebangira. Marehemu Bernard pia ni mwanachama wa TBN.  

No comments:

Post a Comment