KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 12, 2015

POLISI IRINGA YATUMIA NGUVU KUTULIZA GHASIA MJINI IRINGA

Magari ya  polisi  yakisafirisha  watuhumiwa wa vurugu kwenda  kituo  cha polisi kati
Matairi yakichomwa moto
Wananchi  wakiwa katika  vurugu  hizo  huku baadhi yao  wakishuhudia Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia FFU mchana huu wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliokuwa wameziba barabara ya Iringa -Kilolo kwa kuchoma mataili
 
Wananchi hao walifikia uamuzi huo Baada ya mtoto kugongwa na gari kwa zaidi ya saa Moja bila maiti kutolewa.
 
Kutokana na hali hiyo wananchi hao wa eneo la Ipogolo walilazimika kuchoma moto barabara hiyo huku waliochoma mataili kabla ya Polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya    

No comments:

Post a Comment