Mhe
Membe akizungumaza wakati wa ziara yake kituoni hapo. Kulia ni Mama
Dorcas Membe. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda
akifuatiwa na Padri Timoth Maganga wa Kanisa Katoliki la Kigogo
Mburahati.
 |
| Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb)
akimtazama kwa furaha mmoja wa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo
cha Nyumba ya Furaha na Amani kilichopo Kigogo Mburahati, Jijini Dar es
Salaam. Waziri Membe alikitembelea kituo hicho wakati wa Siku Kuu ya
Pasaka. |
 |
| Mhe.
Membe pamoja na Mkewe Mama Dorcas Membe wakipata maelezo juu ya watoto
waishio katika kituo hicho kutoka kwa Sista Mary Bakhita |
|
No comments:
Post a Comment