KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 6, 2015

ZITTO KABWE WA ACT WAZALENDO KUUNGURUMA SONGEA MJINI APRIL 10

5 (25)
Aidha, chama hicho katika kujiimalisha,  kimeendelea kuwataka wananchi wazalendo kuwaunga mkono ikiwemo kujiunga na huduma ya kupata muito wa simu   wa chama hicho: Wimbo wa ACT Wazalendo kuwa muito wa simu yako, Kwa  mtandao wa Vodacom, Tuma sms “ACT” kwa namba 15577.
11035326_1059029794111858_8123265426011297926_o

Na Andrew Chale wa Modewji  Blog
Chama cha Wazalendo ACT-Tanzania kinatarajia kufanya  mkutano wake Mkoani Ruvuma, Ijumaa ya Aprili 10, katika eneo la Songea Mjini.
Kwa mujibu wa taarifa kupitia kurasa ya twitter ya chama hicho kilieleza kuwa,  viongozi wakuu wa chamaa hicho wanatarajiwa kuwa wazungumzaji wakuu huku Mwanachama  mwenye mvuto kwa vijana ambaye pia ni msanii Afande Sele kutoka Morogoro naye akitarajiwa kuwapo kwenye mkutano huo na  viongozi wa Kitaifa.

No comments:

Post a Comment