![]() |
| Askari wa jeshi la polisi wakiimarisha ulinzi kwenye mkutano wa chama cha ACT-Wazalendo mjini Njombe jana. |
![]() |
| Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Samson Mwigamba akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini. |
![]() |
| Kiongozi wa Chama cha Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe jana, wakati wa ziara ya chama hicho inayoendelea mikoa ya nyanda za juu kusini. |






No comments:
Post a Comment