Blatter |
Katika uchaguzi uliofanyika jana, alishinda kwa kura 133 dhidi ya 73 alizopata mpinzani wake mwana wa Ufalme kutoka Jordan, Ali.
Katika hotuba yake mara baada ya kmutangazwa mshindi Blatter alisema "Siko kamili, na hakuna aliyekamili, kwa pamoja tutafanya kazi kubwa,"
Aliongeza kusema "Nitahakikisha kwamba Fifa inarudi ilipokuwa, ...tusonge mbele na Fifa"Alisema.
No comments:
Post a Comment