Rais Kikwete akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kwanza wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya Juu mjini Dodoma. Rais amezindua rasmi kanuni za Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya juu wakati wa Mkutano wa Kwanza wa Shirikisho hilo uliofanyika katika ukumbi wa Kilimani mjiini Dodoma leo. |
No comments:
Post a Comment