Mganga mfawidhi wa kituo cha Afya Masumbwe wilayani Mbogwe,
Dkt. Peter Shilogile (kulia) akitoa maelezo kwenye chumba cha
kujifungulia kina mama kilichowekwa vifaa vyote muhimu kwa Naibu Waziri
ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh.
Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto). Kutoka kushoto ni Kaimu Mkuu wa
wilaya ya Mbogwe, Amani Mwenegoha, Mwakilishi msaidizi wa Shirika la
Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani (UNFPA) nchini
Tanzania, Dkt. Rutasha Dadi. |
No comments:
Post a Comment