Meneja Mahusiano kwa Umma wa kampuni ya Huawei Jin Liguo akiongea na waandishi , Walimu na Wanafunzi wa Shule ya msingi Chuda wakati wa sherehe za kukabidhi kompyuta 10 zenye inteneti ya bure ya Tigo kwa shule hiyo iliyopo mkoani Tanga, Msaada huo ulitolewa na Kampuni ya Tigo kushirikiana na Kampuni ya Huawei. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles ,Mwalimu Mkuu wa Shule ya Chuda Omari Masukuzi na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula. |
Wanafunzi wa shule ya Msingi Chuda Mkoanin tanga wakipokea Kompyuta kwa niaba ya wenzao ambazo zilitolewa na kampuni za Tigo na Huawei. |
Mwalimu wa shule ya Chuda Bi.Teddy Simba akipokea simu kwa niaba ya wenzake toka kwa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula. Simu hizo zitawaweza walimu wa shule hiyo kuweza kuwasiliana wao kwa wao na kuperuzi intaneti bila gharama yeyote kwa kupitia mtandao wa Tigo. |
No comments:
Post a Comment