KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 29, 2015

TANGA CEMENT

Displaying DSC_0690.JPG
Meneja Biashara wa  Kampuni ya Saruji Tanga, Matthews Roos (wa pili kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga juzi. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Mawasiliano na Mahusiano ya Nje wa kampuni hiyo, Mtanga Noor, Meneja Kiwanda Mhandisi. Ben Leman a maofisa wengine wa kampuni hiyo.   
Displaying DSC_0696.JPG
Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga, Diana Malambugi (wa pili kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga juzi. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Kiwanda Mhandisi. Ben Lema, Meneja Biashara, Matthews Roos, Ofisa Mtendaji Kata ya Pongwe, Salimu Mdoe na Meneja Mauzo wa kampuni hiyo, Samuel Shoo.           
Displaying DSC_0697.JPG
Meneja Usalama na Mazingingira wa  Kampuni ya Saruji Tanga, Leon Breedt (wa tatu kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga juzi. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Kiwanda, Mhandisi. Ben Lema, Meneja Biashara, Matthews Roos, Ofisa Mtendaji Kata ya pongwe, Salimu Mdoe, na Meneja Mauzo wa kampuni hiyo, Samuel Shoo.        
Displaying DSC_0699.JPG
Meneja Kiwanda wa  Kampuni ya Saruji Tanga, Mhandisi Ben Lema (wa pili kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 300 ya saruji kwa Diwani wa Kata ya Pongwe, Uzia Juma, iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kisimatui kilichopo katika kata hiyo. Mifuko hiyo ina thamani ya shs milinioni 3.5. Hafla ya makabidhiano ilifanyika kiwandani hapo, Pongwe, Tanga juzi. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Biashara, Matthews Roos, Meneja Mauzo wa kampuni hiyo, Samuel Shoo na Ofisa Mtendaji Kata ya pongwe, Salimu Mdoe.         

No comments:

Post a Comment