Gladness MallyaBARAKA! Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo huyo kwa uamuzi wake huo.
Akistorisha na gazeti hili, Katibu wa
Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kila mwanachama ana haki
ya kugombea uongozi wowote ule ilimradi awe mwanachama hai, hivyo kwa
Wema kugombea ubunge wa viti maalum ni haki yake na amefanya uamuzi na GPL


No comments:
Post a Comment