| Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akiwasha mtambo wa maji uliojengwa Chato Mlimani kama
ishara ya uzinduzi wa mradi wa maji utakaohudumia wakazi wa mji huo leo
wakati wa ziara yake katika mkoa wa Geita , Kinana anaendelea na ziara
hiyo ya kikazi mkoani humo baada ya kumaliza ziara kama hiyo mkoani
Kagera jana, Kinana anaendelea na ziara hiyo yenye lengo la kukagua
utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015 na kuhimiza
uhai wa chama, kukosoa na kutatua matatizo mbalimbali yanayokabili
wananchi kwa maisha na maendeleo yao kwa ujumla akiongozana na Nape
Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSI CHA
FULLSHANGWE-CHATO-GEITA) |
No comments:
Post a Comment