KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 16, 2015

SERIKALI KUBORESHA HUDUMA YA ARDHI

01
Balozi wa Ireland nchini Tanzania Bi Fionnuala Gilsenan akisaini kitabu cha wageni alipomtembelea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (kushoto) ofisini kwake leo jijini Dar es salam.
03
Balozi wa Ireland nchini Tanzania Bi Fionnuala Gilsenan akisisitiza jambo wakati alipomtembelea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (kushoto) ofisini kwake leo jijini Dar es salam.            
04
Balozi wa Ireland nchini Tanzania Bi Fionnuala Gilsenan akiwaonesha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (katikati) na Kamishna wa Ardhi nchini Dkt. Moses Kusiluka (wa kwanza kushoto) baadhi ya picha na michoro inayoonesha namna bora ya matumizi ya ardhi kulingana na matumizi husika ikiwemo mipango miji na vijiji.                              

No comments:

Post a Comment