KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 27, 2015

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ASHIRIKI MAZOEZI NA KLABU YA JOGING YA VIJANA WA CCM MWANZA

????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi  wa pili kutoka kushoto wakiongoza wakielekea hoteli ya Mwanza kwa ajili ya kushiriki Mazoezi na vijana wa Joging Club ya CCM  Mwanza asubuhi hii yaliyoishia Soko kuu stendi ya Tanganyika, Kabla ya kuanza ziara yake katika jimbo la Nyamagana ambapo atakagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2010-2015 na kusikiliza kero za wananchi mbalimbali ili kuzipatia ufunbuzi, Kutoka kulia ni Miraji Mtaturu Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza, Mbunge wa jimbo la Kwimba Mh.Shanif Mansoor .na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo. Mazoezi hayo ya Jogging yameanzia Hoteli ya Mwanza na kuishia(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MWANZA)
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi  wa pili kutoka kushoto wakiwasili Mwanza Hotel tayari kwa kuanza Joging Club ya  na vijana wa Mwanza,Kutoka kulia ni Miraji Mtaturu Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo.  

No comments:

Post a Comment