KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 20, 2015

KINANA APIGA KAZI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO LEO, MIKUTANO YAFURIKA MAELFU YA WATU, AACHA GUMZO KWA HOTUBA ZAKE NZITO, NAPE AWANYAMAZISHA WAPINZANI

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
Kinamama wa kijiji cha Chikobe wakimshangilia Kinana alipozumgumza na wananchi katika mkutano wa hadhara                 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo mbele ya umati wa wakazi wa mji mdogo wa Katoro,alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa hadhara  Jimbo la Busanda, wilayani Geita, Mkoa wa Geita.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana Mbunge wa viti Maalum mkoa wa Geita,Vick Kamata wakielekea  katika mkutano wa hadharakatika Mji Mdogo wa Katoro, Jimbo la Busanda, mkoani Geita leo.         

No comments:

Post a Comment