KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 17, 2015

LUKUVI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI 16 KWA MAKATIBU KATA WA CCM JIMBONI KWAKE

Makatibu kata wa CCM jimbo la Isimani wakiwa wamezunguka pikipiki 16 zilizotolewa na mbunge wao Wiliam Lukuvi kwa ajili ya  kuwasaidia katika shughuli za kila siku
makatibu kata na katibu wa wilaya  ya Iringa  wakishangilia  wakati katibu wa mkoa wa Iringa Hassan Mtenga akijaribu pikipiki hizo            
Katibu   wa CCM mkoa  wa Iringa Hassan Mtenga akikabidhi simu kwa katibu kata wa CCM jimbo la Isimani                                 

No comments:

Post a Comment