KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 17, 2015

KINANA AKUTANA NA WANANCHI WA KIJIJI CHA ILYANCHELE WILAYANI BUKOMBE

????????????????????????????????????
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivuka pamoja na wananchi katika daraja hilo lililotengenezwa kwa miti.
????????????????????????????????????
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amepanda pikipiki akielekea katika kijiji cha Ilyanchele kwa ajili ya kuzungumza na wananchi wa kijiji hicho.                        
????????????????????????????????????
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kazi ya kutega mizinga ya nyuki kwenye mradi wa ufugaji nyuki wa katika shule ya sekondari ya Busonge kata ya Iyogelo                     
????????????????????????????????????
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihutubia katika mkutano huo.                        

No comments:

Post a Comment