KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 22, 2015

MAKAMU WAPILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AJUMUIKA KATIKAMAAZISHI YA MJUMBE WA BODI YA TUME YA UTUMISHI SERIKALINI BIBI FATMA MOH’D OTHMAN

  Marehemu Bibi Fatma Moh’d Othman Mjumbe wa Bodi ya
Utumishi Serikalini ambae pia ni Mwenyekiti wa Wazazi Wilaya ya Mkoani

Pemba aliyefariki dunia Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Kijijini
kwao Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akijumuika pamoja na waumini wa Dini ya Kiislamu katika kumsalia Bibi Fatma Moh’d Othman aliyefariki Da es salaam juzi na kuzikwa Kijijini kwao Kiwani Wilaya na Mkoani Pemba.
 

Balozi Seif pamoja na baadhi ya viongozi 
wakiwasili makaburini kwa ajili ya Mazishi ya Bibi Fatma Moh’d Othman 
hapo Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.

No comments:

Post a Comment