![]() |
| Akitangaza taarifa za msiba huo, mapema leo asubuhi bungeni mjini
Dodoma, Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema wamepokea taarifa hizo kwa
masikitiko, ambapo mbunge huyo alifariki jana katika HospitalI ya Taifa
Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa muda mrefu. Spika Makinda amesema taarifa za awali zinasema mwili wa marehemu utazikwa siku ya Jumamosi jijini Dar lakini bado anaendelea kuwasiliana na familia ya marehemu. Kufuatia msiba huo, Spika ameliahirisha bunge mpaka kesho saa 3 asubuhi. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema peponi, AMEN. |
June 24, 2015
MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment