KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

June 18, 2015

MFANYAKAZI WA GLOBAL, ROBERT TILLYA, AZIKWA KILIMANJARO

Wafanyakazi wa Global Publishers wakiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Robert Tillya wakati wa maziko Uru-Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Mwili wa marehemu Robert Tillya ukishushwa kaburini.          
Padri akiendesha misa ya mazishi.             
Mke wa marehemu, Daya, akisaidiwa baada ya mazishi.              
Baba wa marehemu, Ridoch Tillya (kushoto) akiwa na mtoto wa marehemu, Niveti. Kulia ni baba mkubwa wa marehemu Mzee Tillya akiwa na mtoto mkubwa wa marehemu.              

No comments:

Post a Comment