![]() |
| Rais Kikwete akisoma hotuba yake kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini-Juni 26, 2015 kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam. |
![]() |
| Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla qkihutubia kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini-Juni 26, 2015 kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam. |
![]() |
| Rais Kikwete akigonganisha glasi na Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla na Muadhama kardinali Polycarp Pengo kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani-Juni 26, 2015 kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam. |
![]() |
| Waziri Membe akimtambulisha Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla kwa Kaimu Mufti wa Tanzania Sheikh abubakar Zubeiry aliyealikwa kwenye sherehe hizo. |
![]() |
| Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam. |
![]() |
| Rais Kikwete akiagana na Maaskofu na viongozi wengine baada ya kuhudhuria sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam. |
![]() |
| Rais Kikwete akisalimiana na Mabalozi na viongozi wengine kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam |
![]() |
| Rais Kikwete akisalimiana na Mabalozi na viongozi wengine kwenye sherehe za kuadhimisha miaka miwili ya kutawazwa Papa Francis kuwa Kiongozi wa kanisa katoliki nchini jana jioni kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es salaam. |










No comments:
Post a Comment