Kutoka
kushoto -Majaji wa mwaka huu kwenye Dance 100% ni Super Nyamwela,
Shetta na Queen Darleen wakiwa wanajumulisha matokeo ya washiriki kutoka
Temeke.
Shabiki
wa kundi la 'Noma Sana' akiwa anajitayarisha kushangilia timu yake
kwenye usaili wa kwanza Temeke kwenye Dance 100% (2015)
Washiriki wa kundi la 'Noma Sana' mwaka huu kwenye Dance 100% wakiwa wanafanya yao viwanja vya TCC Changombe.
Watangazaji
rasmi wa Dance 100%, TBway 360 na Maggie Vampire wakiwa wanasherehesha
kikamilifu huku burudani mbalimbali zikijiri TCC Changombe.
No comments:
Post a Comment