SHERIA NI MSUMENO,WEZI WA FEDHA ZA MAFUTA NA GESI KUOZEA JELA
BUNGE limepitisha miswada miwili iliyokuwa imesalia ya mafuta na gesi
ambapo watakaobainika kuchota fedha katika Mfuko wa Mafuta na Gesi
utakaoanzishwa watapewa adhabu mbalimbali ikiwemo kifungo cha miaka 30
jela au kufilisiwa mali zao.
No comments:
Post a Comment