KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

July 22, 2015

WILAYA ZA ARUSHA ZAONGOZA KWA WAGONJWA WA TRAKOMA

to1
Mratibu wa Mpango wa kitaifa wa Kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele dkt. Upendo Mwingira, akionesha fulana yenye ujumbe wa kutokomeza magonjwa hayo toka shirika lisilo la kiserikali la nchini Marekani la Ending Negleted Diseases,walokuja nchini tanzania kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa za kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Mkoani Arusha
to2
Mratibu wa Trakoma toka hospitali ya KCMC Patrick Masae akifanya uchunguzi wa macho kwa wananchi wa kata ya Sinya na Tinga Tinga wilayani Longido
to3
Wanafunzi wa shule ya msingi sinya wakiwaonesha wageni (hawapo pichani) jinsi wanavyotumia kibuyu mchirizi kwa kunawa hii ni mojawapo wa mkakati wa usafi wa mazingira na kuimarisha usafi wa kunawa mikono na usi kutokomeza ugonjwa wa trakoma.

No comments:

Post a Comment