KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

August 30, 2015

TBC YAONYWA

Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), imetoa onyo kali kwa Shirika la Utangazaji (TBC1) kwa kuchambua vichwa vya habari vya magazeti kwa upendeleo.
 
Kadhalika Redio ya Magic FM imepewa onyo kali huku ikitakiwa kulipa faini ya Sh milioni 2.5  baada ya kukiuka maadili ya utangazaji kupitia kipindi chake cha 'Morning Magic'.
 
Uamuzi huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa waandishi wa habari wakiwemo  wawakilishi kutoka TBC1 na Magic FM, Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Wolter Byoga, alisema TBC1 kupitia kipindi chake cha Jambo Tanzania, katika kipengele cha uchambuzi wa magazeti kilikuwa kikiruka habari kubwa na kusoma ndogo.

No comments:

Post a Comment