Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania kanda ya Mbagala jijini Dar
esSalaam,Idd Mawe akitoa semina ya mafunzo ya huduma ya M-pawana M-pesa kwa Mawakala
na wateja wakampuni hiyo wakati wa kongamano la wiki yahuduma za kifedha na uwekezaji
lililofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
|
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutoka kushoto Anna
Msinde,Mwanaidi Khajina Mariam Rajabu wakielekezwa
na Mfanyakaziwa Vodacom Tanzania, Athuman Mwakipesile(kulia) jinsi ya kujiungana
hudumaya M-Pawa inayowawezesha wateja wakampuni
hiyo kupata riba na mikopo ya bei nafuu kupitia simu zao za mkononi wakati
wakongamano la wiki ya huduma za kifedha nauwekezaj ilililofanyika katika viwanja
vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
|
Mfanyakaziwa Vodacom Tanzania, Athuman Mwakipesile(kushoto)
akiwafafanulia jambo baadhi ya watejawa Vodacom Tanzania waliofika katika banda la
kampuni hiyo wakati wakongamano la wiki
ya huduma za kifedha na uwekezaji lililofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar
es Salaam mwisho ni mwa wiki.
|
No comments:
Post a Comment