KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 3, 2015

DR. SHEIN AZINDUA MNARA WA KUMBUKUMBU ZANZIBAR

MR1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)  na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakipata maelezo kutoka kwa Mshauri wa Ujenzi wa Kampuni ya Habconsult Bw.Habid Nuryanayohusiana na Ramani ua Ujenzi wa Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar kabla ya uzinduzi wa Mnara huo leo uliopo Michenzani Mjini Zanzibar.

MR2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akikata Utepe kushiria Uzinduzi wa Mnara wa kumbukumbu ya miaka50 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar,sherehe za Uzinduzihuo ulifanyika leo katika viwanja vya Michenzani Mjini Unguja (katikati) Mke wa Rais Mama mwanamwema Shein na (kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa ZSSF Abduwakil Haji Hafidh.
MR4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa makumbusho Bw.Said El Gheith wakati alipotembelea sehemu mbalimbali za Mnara wa kumbukumbu baada ya kuuzindua rasmi leo katika viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar.
MR3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mtaalamu wa makumbusho Bw.Said El Gheith wakati alipotembelea sehemu mbalimbali za Mnara wa kumbukumbu baada ya kuuzindua rasmi leo katika viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar.
MR5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akibadilishana mawazo na  Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati walipotembelea sehemu za mnara wa kumbukumbu baada ya uzinduzi uliofanyika   leo katika viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar.
MR6
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)naMkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na viongozi wengine wakati walipotembelea sehemu za mnara wa kumbukumbu baada ya uzinduzi uliofanyika   leo katika viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar.
MR7
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)naMkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na viongozi wengine wakati walipotembelea sehemu za mnara wa kumbukumbu baada ya uzinduzi uliofanyika   leo katika viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar.
MR8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria katika uzinduzi wa Mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar katika viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar (kushoto) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,na Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee(kulia).
MR9
Mke wa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa ZSSF Abdulwakil Haji Hafidh katika sherehe za Uzinduzi wa Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50mya Mapinduzi Matukufu ya zanzibar zilizofanyika leo katika Viwanja vya Michenzani Mjini Zanzibar.

MAMA REGINA LOWASSA AMEWATAKA WANAWAKE NCHINI KUTORUBUNIWA Wanawake nchini wametakiwa wasikubali kurubuniwa na maneno maneno wala vitisho kutoka kwa baadhi ya wanasiasa,bali wauone mwaka huu 2015 kama mwaka wa mabadiliko na kuiweka madarakani serikali sahihi,ili iweze kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia biashara zao,na kuwaondoa kwenye adha ya kujifungulia mahali pasipo salama kwa afya zao. Akiongea na wanawake wa mjini Sumbawanga mkoani Rukwa,mke wa Mgombea urais kupitia chama cha DEMOKRASIA na maendeleo Chadema na UKAWA mheshimiwa Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa,amesema wanawake wanapaswa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kura mwaka huu, ili wapate neema ya kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia shughuli zao za kibiashara zisizokuwa na wingi wa kodi na ushuru kama ilivyo hivi sasa,zinazowaletea kero na kuwafanya wasiwe na maendeleo yoyote. Kwa upande wao baadhi ya wanawake waliohudhuria kikao hicho, wameiomba serikali ya awamu ya tano itakapoingia madarakani,iwaondoe kwenye adha kubwa ya kufanyia shughuli zao za kibiashara kwenye mazingira yenye miundo mbinu mibovu licha ya kulipa kodi na ushuru mbalimbali,pamoja na kuangalia namna ya kuwalipa wenyeviti wa serikali za mitaa posho

Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
MAMA REGINA LOWASSA AMEWATAKA WANAWAKE NCHINI KUTORUBUNIWA Wanawake nchini wametakiwa wasikubali kurubuniwa na maneno maneno wala vitisho kutoka kwa baadhi ya wanasiasa,bali wauone mwaka huu 2015 kama mwaka wa mabadiliko na kuiweka madarakani serikali sahihi,ili iweze kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia biashara zao,na kuwaondoa kwenye adha ya kujifungulia mahali pasipo salama kwa afya zao. Akiongea na wanawake wa mjini Sumbawanga mkoani Rukwa,mke wa Mgombea urais kupitia chama cha DEMOKRASIA na maendeleo Chadema na UKAWA mheshimiwa Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa,amesema wanawake wanapaswa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kura mwaka huu, ili wapate neema ya kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia shughuli zao za kibiashara zisizokuwa na wingi wa kodi na ushuru kama ilivyo hivi sasa,zinazowaletea kero na kuwafanya wasiwe na maendeleo yoyote. Kwa upande wao baadhi ya wanawake waliohudhuria kikao hicho, wameiomba serikali ya awamu ya tano itakapoingia madarakani,iwaondoe kwenye adha kubwa ya kufanyia shughuli zao za kibiashara kwenye mazingira yenye miundo mbinu mibovu licha ya kulipa kodi na ushuru mbalimbali,pamoja na kuangalia namna ya kuwalipa wenyeviti wa serikali za mitaa posho

Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ

No comments:

Post a Comment