| Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiongea na wananchi wa Dar es
salaam waliokuja kuwasilisha malalamiko yao kuhusu migogoro ya ardhi,
kulia ni naibu wake Mhe. Angela kairuki na Kamishna wa Ardhi Msaidizi
kanda ya Dar es salaam Methew Nhonge, kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu
Wizara ya Ardhi Dkt. Selasie Mayunga na Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt.
Moses Kusiluka. |
No comments:
Post a Comment