KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 23, 2015

LUKUVI APAMBANA NA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM

unnamed
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiongea na wananchi wa Dar es salaam waliokuja kuwasilisha malalamiko yao kuhusu migogoro ya ardhi, kulia ni naibu wake Mhe. Angela kairuki na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Methew Nhonge, kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Dkt.  Selasie Mayunga na Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka.
unnamedn
Waziri wa Ardhi akipokea malalamiko ya wananchi wenye migogoro ya ardhi katika mkoa wa Dar es salaam.
unnamedv
Wananchi wa manispaa ya kinondoni wakiwa katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment