KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 5, 2015

ARSENAL YAIUA MAN U 3-0

Arsenal celebrate
Arsenal jana iliitandika Man United baada ya kuichapa kwa mabaO 3-0 kwa ushindi huo sasa Arsenal inakamata nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya England .
United ilikuwa haina jibu ya mabao ya wachezaji wa Arsenal Alexis Sanchez na Mesut Ozil kabla Arsenal haijafunga bao la tatu.

No comments:

Post a Comment