KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 10, 2015

COMRADE KINANA APIGA KAZI YA NGUVU KIGOMA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Kasulu Kusini Ndugu Agustino Zuma Ole kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya shule ya msingi Katanga, Kasulu,mkoani Kigoma.
Mgombea ubunge wa jimbo la Kasulu Kusini Ndugu Agustino Zuma Ole akiomba kura kwa wakazi wa Kasulu Kusini mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Katanga.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kasulu mjini Ndugu Daniel Nswanzigwanko akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kabla ya kuhutubia wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kasulu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi
waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika
kwenye uwanja wa CCM Kasulu mjini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi
Kasulu mjini na kuwaeleza kuwa CCM imeleta mgombea anayejali wananchi, mtendaji na mfuatiliaji asiyependa rushwa na anatanguliza maslahi ya nchi kwanza kwa manufaa ya wote.

No comments:

Post a Comment