KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 10, 2015

MIKUTANO YA WB NA IMF YAZIDI KUVUTIA WENGI NCHINI PERU-LIMA

4
Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile wa pili kulia akitoa ufafanuzi kwenye majadiliano na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia kanda ya Afrika Bw. Makhtar Diop kushoto na Mkurugenzi wa Mipango na Uratibu Bi. Mamta Murth kushoto kwake. Kutoka kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bw. Wilson Masilingi, na baada ya katibu Mkuu kulia kwake Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Bw. Khamis Mussa na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Bi. Natujwa Mwamba.
10
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akifanyiwa mahojiano na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Fedha Bi. Ingiahedi Mduma kuhusu mwelekeo na mafanikio ya upatikanaji wa fedha za bajeti kutoka kwa wadau wa maendeleo hapa nchini Peru – Lima.
12
Kutoka kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bw. Wilson Masilingi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Dr. Servacius Likwelile, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Rished Bade akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu na Mlipaji Mkuu wa Wizara ya Fedha pamoja na Kamishna wa Fedha za nje Wizara ya Fedha Bw. Said Magonya akisoma ratiba ya mikutano ya mwaka ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa inayoendelea nchini Peru- Lima.

No comments:

Post a Comment