KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 5, 2015

EDWARD LOWASSA AMLILIA MTIKILA

Napenda kuchukua nafasi hii kwa masikitiko kutuma salamu za rambirambi kwa Familia pamoja na wanachama wa Chama cha DP (Democratic Party) kufuatia kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea asubuhi ya leo tarehe 4 Oktoba 2015. Kwa niaba ya wenzangu katika CHADEMA na UKAWA na kwa niaba ya familia yangu, ninamwomba Mwenyezi Mungu awape faraja wafiwa na amweke Marehemu mahala pema.
Bwana Ametoa. Bwana Ametwaa. Jina Lake Lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment