KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 4, 2015

MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM ZILIZOFANYIKA UWANJA WA KIUNGONI KOJANI PEMBA.

8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM,Wananchi wapenda amani waliohudhuria katika  mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM za kuomba kura wagombea nafazi za Uongozi katika Chama hicho,uliofanyika jana  uwanja wa Mpira Kijiji cha Kiungoni Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
5
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa NEC Balozi Ali Abeid Amani Karume allipokuwa akizungumza na wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Kojani Wilaya ya wete Mkoa wa Kaskazini Pemba katika kijiji cha Kiungoni  wakati wa  mkutano wa hadhara wa Kampeni za CCM uliofanyika jana uwanja wa Mpira Kijijini hapo, mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
4
Baadhi ya Viongozi walioungana na mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM wakiwa katika uwanja wa Mkutano wa hadhara uliofanyika jana  katika jimbo la Kojani kijiji cha Kiungoni Wilaya ya Wete,Mkoa wa Kaskazini Pemba  ikiwa ni mfululizo wa kampeni za CCM zinazoendelea.
7
Baadhi ya wanachama wa CCM,Wananchi wapenda amani waliohudhuria katika  mkutano wa hadhara uliofanyika  jana  uwanja wa Mpira Kijiji cha Kiungoni Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein  wakati alipozungumza nao.
{Picha na Ikulu.]  

No comments:

Post a Comment