Maafisa wa Bodi ya Chakula, Dawa
na Vipodozi Zanzibar wakifungua moja ya Boxi lenye Vipozi vyenye
Kemikali ambavyo vimepigwa marufuku kutumika duniani baada ya kuvikama
Bandarini vikitokea Marekani na Italy.
Baadhi ya Vipozi vyenye Kemikali
ambavyo vimepigwa marufuku kutumika duniani vikiwa vimetolewa katika
Maboxi ambayo yalitumika kuviihifadhi. Vipodizi hivyo Vinasubiri
kuteteketezwa na Maafisa wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi
Zanzibar.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment