KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 7, 2016

BALOZI WA UINGEREZA NCHINI BI.DIANA MELROSE AMTEMBELEA MH.JANUARY MAKAMBA LEO


T1       Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Mazingira na Muungano) Mh. January Makamba (Kushoto) akiongea na Balozi wa Uingereza nchini Bi. Dianna Melrose (katikati) . kulia ni Naibu Balozi wa Uingereza nchini Bw. Matt Sutherlal walipomtembelea Mh. Waziri leo Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli kwa lengo la kufahamiana na kudumisha ushirikiano baina ya Tanzania na Uingereza katika nyanja za Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini)

No comments:

Post a Comment