Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa
Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Katibu Mkuu
Wizra ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi.Khadija Bakari wakati alipowasili
viwanja vya Skuli ya Msingi Mnarani Wilaya ya Micheweni kuifungua Skuli
hiyo iliyojengwa kwa Nguvu za wananchi na Ufadhili ya Shirika la Milele
Foundation la Zanzibar leo ikiwa katika shamra shamra za kusherehekea
miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa
Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria
uzinduzi wa Skuli ya Msingi Mnarani leo Wilaya ya Micheweni Mkoa wa
Kaskazini Pemba iliyojengwa kwa Nguvu za wananchi na Ufadhili ya
Shirika la Milele Foundation la Zanzibar,ufunguzi huo ikiwa katika
shamra shamra za kusherehekea miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar(kulia) Katibu Mkuu Wizra ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Bi.Khadija Bakari na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma
Shamuhuna (kushoto) ,[Picha na Ikulu.]
![]() |
Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa
Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wanafunzi
mara baada ya kuifungua na kuitembelea Skuli ya Msingi Mnarani Wilaya
ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,iliyojengwa kwa Nguvu za
wananchi na Ufadhili ya Shirika la Milele Foundation la Zanzibar, ikiwa
katika shamra shamra za kusherehekea miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Wanafunzi wa Skuli ya Msingi
Mnarani Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais
wa Zanzbar na Menyekiti wa Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein
wakati alipokuwa akizungumza nao baada ya kuifungua rasmi leo ikiwa ni
katika sherehe za maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar, [Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment