KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 8, 2016

DK. SHEIN AZINDUA SKULI MPYA KIJIJI CHA ZINGWEZUNGWE ZANZIBAR.


WA1
Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Katibu Mkuu Wizra ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi.Khadija Bakari wakati alipowasili viwanja vya Skuli ya Msingi Mnarani Wilaya ya Micheweni kuifungua Skuli hiyo iliyojengwa kwa Nguvu za wananchi na Ufadhili ya Shirika la Milele Foundation la Zanzibar leo ikiwa katika shamra shamra za kusherehekea miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
WA2
Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Skuli ya Msingi Mnarani leo Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba iliyojengwa  kwa  Nguvu za wananchi na Ufadhili ya Shirika la Milele Foundation la Zanzibar,ufunguzi huo ikiwa katika shamra shamra za kusherehekea miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar(kulia) Katibu Mkuu Wizra ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi.Khadija Bakari na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna (kushoto) ,[Picha na Ikulu.] 
WA3
WA4
Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wanafunzi  mara baada ya kuifungua na kuitembelea  Skuli ya Msingi Mnarani   Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,iliyojengwa  kwa  Nguvu za wananchi na Ufadhili ya Shirika la Milele Foundation la Zanzibar,  ikiwa katika shamra shamra za kusherehekea miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 
WA5
Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Mnarani   Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzbar na Menyekiti wa Baraza la Mapiduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipokuwa akizungumza nao baada ya kuifungua rasmi leo ikiwa ni katika sherehe za maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, [Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment