KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 8, 2016

KADA KIJANA CCM AJITOSA UENYEKITI ARUSHA


SAM_7189
Kada wa CCM Kenedi Mpumilwa kushoto akipokea fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha kutoka kwa katibu msaidizi wa CCM mkoa wa Arusha Omar Billal mapema leo katika makao makuu ya mkoa(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
SAM_7190
Kada Mpumilwa akionyesha fomu yake ya uenyekiti wa CCM mkoa kwa wanahabari mara baada ya kuipokea kutoka kwa katibu msaidizi wa CCM mkoa
SAM_7176
Kada Mpumilwa akisaliamiana na katibu msaidizi wa mkoa wa Arusha mara baada ya kuingia ofisini kwake kwaajili ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa mkoa
SAM_7181
Kada Mpumilwa akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa katibu msaidizi wa CCM mkoa tayari kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa mkoa wa Arusha

No comments:

Post a Comment