KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 6, 2016

MUGABE ADAI 'MTANGAZA NIA' MAREKANI NI MJUKUU WA HITLER

“Adolf Hitler is Donald Trump’s grandfather”–Mugabe puts Trump in his place
BAADA ya Mtangaza nia ya urais wa Marekani kwa tiketi ya Republican Donald Trump  kudai kuwa akichaguliwa atawasweka ndani Dkt.Mugabe (pichani) na Rais wa Uganda Yoweri Museveni Mugabe amejibu mapigo.      Akizungumza jana kwenye Harambee Jijini Harare, Mugabe alidai kuwa mgombea huyo anafanana kwa kila jambo na Dikteta wa zamani wa Dunia Adolf Hitler. "Huyo (trump) anafanana kwa kila jambo na babu yake Hitler" alisema Mugabe 

No comments:

Post a Comment